Saturday, September 19, 2020

Liverpool Yamsajili Thiago Alcantara

 Liverpool imekamilisha uhamisho wa kiungo wa Kati wa klabu ya Bayern Munich na Uhispania, Thiago Alcantara kwa kima cha pauni million 30. Mhispaniola Huyu amejiunga na wekundu wa Anfield kwa mkataba wa miaka mitatu. 


No comments:

Post a Comment